geofreyjason7@gmail.com

Navigation

IJUE SAYARI MPYA ILIYOGUNDULIWA. YENYE UWEZO WA KUHIFADHI UHAI KAMA DUNIA

            Hii ni sayari mpya iliyogunduliwa na wanasayansi  inayofanana kabisa kitabia na dunia, sayari hii inaitwa KEPLER 186F  ipo katika mzunguko wa kipekee sana unaoitwa kepler186 system, mzunguko huu ni tofauti kabisa na huu wakwetu tuliopo wa solar system, kwani mzunguko wa kepler haulizunguki jua hili tunalolifahamu, wenyewe una jua lake la tofauti  TAZAMA PICHA HAPA CHIIHilo ndilo jua linalozungukwa na sayari hiyo linaitwa RED DWARF,       sayari hiyo ina maji pia ina joto linaloweza kufanya viumbe hai kuishi, kwa ukubwa sayari ya kepler 186f ni kubwa  kidogo kwa Dunia ukubwa wake ni mara 1.75 zaidi ya dunia , sayari hiyo hulizunguka jua kwa siku 130,  hivyo hulizunguka jua lake kwa siku chache kulinganisha na Dunia ambayo ni siku 365. sayari ya kepler ipo umbali wa maili milioni 32.5 sawa na kilomita milioni 52.4 kutoka katika jua TAZAMA PICHA HAPA CHINI 
SWALI ni je tunaweza kutumia muda gani kufika katika sayari hiyo?  kwa uchunguzi wa sasa kwa kifaa kinachokimbia kwa kasi ya mwanga ( speed of light ) kitatumia miaka 130 kufika katika sayari hiyo#  Hivvo binadamu anaweza kutumia maisha yake yote katika safari hiyo.                                                       NAKUSHUKURU SANA KWA KUSOMA TAARIFA HII MTU WANGU. Tafadhari zidi kunisupport kwa kutembelea blog hii kila iwezekanapo                                                                                         DONDOSHA COMMENT YAKO HAPO CHINI
Share
Banner

Post A Comment:

0 comments: